Je unazikumbuka nyimbo hizi za Bongo Flava?
“Nakshi Nakshi”: Ni wimbo wa Bongo Flava uliotolewa na msanii AliKiba mwaka 2007, alimshirikisha Hakim 5. “Cinderela”: Hii ni moja ya nyimbo maarufu ya AliKiba iliyotolewa mwaka 2007, Alimshikisha Spince “Zeze”: Ni wimbo wa msanii TID uliotolewa mwaka 2003. “Zeze” ni jina la chombo cha muziki. “Binti Kiziwi” ya Z-Anton: Wimbo huu ulitolewa mwaka 2009. Unaelezea hadithi ya msichana kiziwi ambaye hawezi kuelewa maneno yanayosemwa, … Continue reading Je unazikumbuka nyimbo hizi za Bongo Flava?